Mkuu wa chuo,walimu na wanafunzi wakiwa kwenye picha ya pamoja
baada ya Tafrija fupi yakumuaga Mr
Christopher Singh na Mr Matrin Malima |
|
Wanafunzi nao walimpatia zawadi Mr Christopher Sing,kama shukrani
kwa
muda aliojitolea kuja kuwafundisha,
Maneno hayo yalisemwa na mwakilishi wa wanafunzi.
|
Mkuu wa chuo naye alimzawadia Mr Christopher,Shati la asili
pamoja na
kifungulio cha soda cha
asili ya kitanzania
|
Mr Christopher Sing akitoa shukrani
zake kwa kuonyeshwa
upendo kutoka kwa walimu na wanafunzi wa chuo cha
Habari maalum
|
No comments:
Post a Comment